Powered By Blogger

Thursday, August 9, 2012

JK aapisha vigogo wa Mahakama leo.

Balozi sifue kushoto, Jk na Vigogo wa Mahakama

Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha, Mhe. Ignas Paul Kitusi kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, kabla ya uteuzi wake Mhe. Kitusi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mhe. Rais akimuapisha Mhe. Panterine Kente kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.                                               caption

Mhe. J.K akimuapisha Mhe.Hussein Kattanga kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama, kabla ya uteuzi wake,Mhe. Kattanga alikuwa Katibu Mkuu TAMISEMI.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

No comments: