Powered By Blogger

Thursday, August 9, 2012

Costa Mahalu ashinda kesi yake.

Aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Italia,Balozi Costa Mahalu ambaye alikua mshitakiwa namba moja kwenye kesi ya matumizi mabaya ya fedha za ununuzi wa jengo la ubalozi wa Tanzania nchini Italia, pamoja na mshitakiwa namba mbili Grace Martin (kushoto) wakiwa wamezungukwa na Waandishi wa Habari muda mfupi baada ya kusomewa kesi yao ambayo wameshinda leo na kuonekana hawana hatia yeyote kutoka na kukosekana kwa ushahidi uliokamilika.
Mahalu akipongezwa na jamaa yake.

Bila Shaka akisema" haki imetendeka nimeshinda kesi......"
Hongera Professor

No comments: