Powered By Blogger

Thursday, November 24, 2011

ENZI HIZO; MAHAKAMA NA MIAKA 50 YA UHURU

  
Mwaka 1977 Mwl. Julius Kambarage Nyerere alimuapisha Jaji Francis Lucas Nyalali kuwa Jaji Mkuu wa pili mzalendo baada ya Jaji Augostino . Jaji Nyalali alishika wadhifa huo hadi mwaka 2000   
Mwl. Julius Kambarage Nyerere alipomuapisha Jaji Augostino Saidi kuwa Jaji Mkuu wa kwanza mzalendo mwaka 1971 kazi aliyoifanya hadi mwaka 1977. Kabla ya Mhe. Jaji Augostino Saidi kuwa Jaji Mkuu, wadhifa huo ulishikwa na Mhe. Jaji Philip T. Georges aliyekuwa raia kwa Jamaica.     

No comments: