Powered By Blogger

Tuesday, April 26, 2011

JK AONGOZA SHEREHE ZA MUUNGANO ZANZIBAR

Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa tanzania leo; akiwaongoza maelfu ya watanzania huko Zanzibar; katika sherehe za miaka 47 ya Muungano. Muungano huo hata hivyo bado unalalamikiawa  kuwa na mapungufu fulani ya kimuundo na kisheria. Huenda Matatizo haya yatatatuliwa na katiba mpya.

No comments: