Powered By Blogger

Tuesday, February 19, 2013

MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA YAPIGA STOP UCHAGUZI WA TFF.





Jaji wa Mahakama kuu Kanda ya Mwanza Mhe. Jaji Mruma hivi punde amepiga stop uchaguzi wa TFF usifanyike mpaka pale kesi ya msingi iliyofungukiwa na Bwana Richard Julius Rukambura dhidi ya Tanzania football federation, shauri namba 1 ya mwaka 2013.

Katika shauri hilo Mlalamikaji Richard Julius Rukambura alijiwakilisha yeye mwenyewe na Mlalamikiwa yaan TFF, aliwakilishwa na Wakili Maaarufu Bwana Mgongolwa.  Aidha Mheshimiwa jaji aliwaamu

No comments: