Powered By Blogger

Wednesday, August 10, 2011

Jaji Mkuu awaapisha mawakili 288 Leo.


Mdau Alain Maduhu akiwa na wife Wake Mh.Janeth Pamoja na Mama Mkwe wake Jaji Mgaya. 


Baadhi ya Mawakili wakifuatilia sherehe yao ya kuapishwa

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh.Othman Chande leo amewatunuku vyeti vya uwakili jumla ya wanasheria 288 katika viwanja vya karimjee jijini Dar es salaam. Idadi hiyo ya mawakili hata hivyo bado haikidhi haja, kwani bado kuna tatizo kubwa la mawakili hasa katika mikoa mbalimbali na maeneo tofauti tofauti ya wilayani.

No comments: