Powered By Blogger

Saturday, July 9, 2011

Afande akiwa na mtuhumiwa wake.

Askari wa Usalama barabarani akiwa na dereva wa daladala ambaye alifanya kosa na kukimbia kwa kushani askari huyo hakumuona na ndipo alipomfuata katika kituo alichokua  amepaki daladala lake kisha kumkamata ma kumpeleka kituoni.Source michuzi Blog.


                                                                       

No comments: